AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema itaifuta kesi ya kutoa lugha chafu dhidi ya Rais wa Tanzania, John Magufuli inayomkabili Mbunge wa Kawe (CHADEMA), Halima Mdee kwa sababu ya shahidi kushindwa kutoa ushahidi kwa zaidi ya mara tatu.
Hayo yameelezwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya Wakili wa Serikali, Silivia Mitato kudai kuwa Wakili anayeendesha shauri hilo amepangiwa kazi nyingine hivyo anaiomba mahakama impe muda ili apitie jalada hilo.
Baada ya kueleza hayo, Hakimu Simba amesema kumbukumbu zake zinaonyesha shahidi Abdull Chembea amefika mahakamani hapo zaidi ya mara tatu na hajawahi kutoa ushahidi, hivyo tarehe ijayo kama haijaanza kusikilizwa anaweza kuifuta.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi August 28 na Septemba 4, 2019 kwa ajili ya kusikilizwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK