AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MAMA Ntilie mwenye pesa zake mjini ambaye pia ni msanii wa muziki wa Bongo Fleva na mjasiriamali, Shilole ‘Shishi Baby’, ameonyesha jeuri ya pesa kwa waandishi wa habari kwa kutoa pesa zake alizonazo kwenye pochi yake.
Aidha amemchana Diamond Platnumz, kuhusiana na Tamasha la Wasafi Festival 2019 kwa kumwambia achukue wasanii wote na si wasanii wa Wasafi pekee kwani siku zote anaposema Wasafi Festival ni ya watu wote awe anamaanisha kweli.
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK