AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mali za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), freeman Mbowe kupigwa mnada Jumamosi jijini Dar es Salaam ikiwemo ukumbi wa Disco wa Bilicanas.
Mali za Kampuni ya Mbowe Limited zilishikiliwa kwa kipindi cha miaka mitatu tangu mwaka 2016 na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa madai ya kutolipwa kodi kwa miaka 20.
Ilielezwa kuwa tangu tangu mali hizo kushikiliwa na NHC kodi inayodaiwa ni sh bilioni 1.1.
Mali nyingine zikazopigwa mnada ni makabati, viti, taa, majukwaa pamoja na vifaa vingine ambavyo vitakuwa katika ukumbi huo wa Bilicanas.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK