AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mzee Mwinyi amewataka Watanzania kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli kwa juhudi kubwa anazozifanya kuleta maendeleo kwa muda mfupi.
Amebainisha kuwa ukiondoa Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere viongozi wengine waliofuata akiwemo yeye wamefanya juhudi za kuipeleka nchi mbele lakini kasi ya Rais Magufuli ni kubwa zaidi.
VIDEO:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK