P Diddy Ajiingiza Kwenye Uhusiano Mpya na Mpenzi wa Mtoto wake?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Stori kubwa ambayo imeviteka vyombo vya habari nchini Marekani ni kuhusiana na mkongwe wa muziki wa Hip Hop P Diddy ambaye anadaiwa kujihusisha kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanadada Lori Harvey(22) ambaye ni mtoto wa mtangazaji maarufu Steve Harvey.

Inaripotiwa kuwa mwanadada aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na Justin Combs ambaye ni mtoto wa P Diddy ingawa stori ya penzi kati ya Diddy na Lori hazijathibitishwa lakini kwa upande mwingine zimepamba moto baada ya Lori kuonekana akiwa na Didy  kwenye gari aina ya Chauffeured Maybach na kuelezwa kuwa walikuwa wakienda kupata chakula cha jioni (dinner).



Kwa mujibu wa mtandao wa Rap Up uliwahi kuripoti kuwa mwanadada huyo aliwahi kuvalishwa pete ya uchumba na Diddy kitu ambacho hakijathibitishwa mpaka leo na imeripotiwa kuwa penzi kati ya Justin Combs na Lori lilivunjika.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad