AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Soulja Boy ameamua kuishi kitofauti baada ya kutoka jela ambapo amepunguza marafiki na amepunguza muda wa kutumia mitandao ya kijamii.
Hadi sasa, katika mitandao yake ya kijamii ya Twitter na Instagram, hajaweka chochote tangu alipoachiwa Julai 14 mwaka huu,
Hata hivyo, staa huyo ataendelea na adhabu yake kwa kufanya kazi za kijamii kwa siku 265.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK