Shule 10 Bora Matokeo ya Kidato cha Sita 2019

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato sita mwaka 2019 na kutaja shule kumi bora  zilizofanya vizuri katika mtihani huo.

Akizungumza leo Alhamisi Julai 11, 2019 visiwani Zanzibar wakati akitangaza matokeo hayo katibu mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde amesema shule iliyoshika nafasi ya kwanza ni Kisimiri ya mkoani Arusha iliyokuwa na watahiniwa 60.

Msonde amesema Feza Boys ya jijini Dar es Salaam yenye watahiniwa 87 imeshika nafasi ya pili ikifuatiwa na Ahmes ya mkoani Pwani iliyokuwa na watahiniwa 112.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad