Siwema wa Nay wa Mitego Afunguka "Nilikuwa na Mambo ya Kitoto na Tamaa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWANADADA mjasiriamali ambaye pia ni mzazi mwenza na mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson amekiri kuwa, kipindi cha nyuma alipoteza muda mrefu kutokana na mambo ya kitoto aliyoyafanya yaliyomfanya apotee kwenye kusaka mafanikio ya haraka. -

Akizungumza na Risasi Jumamosi, Siwema ambaye kwa sasa anamiliki duka kubwa la nguo jijini Mwanza, alisema kilichomsaidia ni kwamba alikubali aliyumbishwa na utoto pamoja na masuala ya mahusiano lakini alifanya maamuzi sahihi kuyapokea makosa yake na kuyarekebisha.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad