AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa nikujuze, Mwana mama huyo mwenye umbo na sura ya kuvutia, na pesa kama zote, hivi sasa anakula mtonyo wa madili mbali mbali ya maduka y nguo mjini , ambapo mrembo huyo hutangaza nguo na outfit mbali mbali na kuzipost kwenye ukurasa wake wa instagram wenye followers zaidi ya Mil 3.
Msanii huyo kwa sasa ndiye anayetajwa kuwa na pesa zaidi kuliko msanii yeyote kwa sasa kutoka kwenye kiwanda cha bongo movie.
Staa huyo amekua akionekana kwenye viwanja vya starehe ndani na nje ya nchi akila bata.
Uwoya ni mjasirimali, anamiliki Bar, last minute lounge maeneo ya sinza mori, pia tunaambiwa uwoya kwao ni mambo safi, pesa si tatizo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK