AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaume ambaye mwaka wa 2018 aliweka mabomu kwenye bahasha na kuvituma kwa viongozi mashuhuri wa kisiasa nchini Marekani amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani na mahakama mjini New York.
“Nasikitika sana kwa kile nilichofanya,” Cesar Sayoc aliambia jaji Jed Rakoff kabla ya kusomewa hukumu yake. Sayok mwenye umri wa miaka 57 kutoka jimbo la Florida alituma bomu 16 kwa watu 13 mashuhuri mwaka jana na kusababisha hofu kwote nchini Marekani.
Miongoni mwa aliyowalenga ni pamoja na rais mstaafu Barack Obama, aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Hillary Clinton miongoni mwa wanasiasa wengine ambao wanapinga sera za rais wa sasa Donald Trum.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK