Casto Dickson Awaonya Vikali Tunda na Whozu..'Ntawapeleka Mahakamani Kwa Upuuzi Wenu'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtangazaji Casto Dickson ambae alishawahi kuwa kwenye mahusiano na Mwanadada Tunda amevunja ukimya na kumchana x wake huyo na mpenzi wake wa sasa ambae ni Mchekeshaji na mwigizaji Whozu.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Casto amewataka Tunda na Whozu waache kutafuta kiki kupitia yeye na wasimuhusishe kabisa kwenye kiki zao.

“Msitafute kiki zenu kwa majina na jasho la waliotafuta wenzenu kwa jasho lao kwa upuuzi wenu. Kwako wewe X wangu na mpenzi wako tunaweza kutana mahakamani kwa sababu nazijua account zako fake zote! Nimechoka mnaitesa status yangu sio moyo wangu! Utumbo tu huo!” aliandika Casto lakini hata hivyo si Tunda wala Whozu walioibuka kujibu lolote.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad