Rosa Ree Avunja Mwiko AFRIMA..Wa Rapper wa Kike Kuingia Kinyang'anyiro cha Msanii Bora wa Kike East Africa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tumezoea wanamuziki tunao waona wakiingia kwenye Nominations nyingi za Tuzo za nje ni hawa wanaoimba ila katika Nominations zilizotangazwa Jana na AFRIMA Msanii Rosa Ree ambae ni Rapper wa kike kutokea Tanzania ametokelezea katika kipengele cha Msanii bora wa kike Eastern Africa Akiwemo Nandy, Maua, Vanessa Mdee na Qeen Darleen kutoka Tanzania

Rosa Ree ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Instagram:

Rosa_ree
HARD-WORK IS AN INVESTMENT!!
Bidii ni Akiba na Akiba haiozi.. If you don’t get it today or tomorrow, your day will dawn!
For the first time in the history of Tanzanian , a Female HIP HOP artiste has been nominated in the category of Best Female Artistes in Eastern Africa Region in the All Africa Music Awards #AFRIMA #6thAFRIMAAwards @afrimawards GOD IS GOOD 🙏🏾
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad