AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi karibuni Konki master Dudu baya, ameokoka kwenye kanisa la Mwamposa (bulldozer), akihojiwa na mwandishi wa Temu online TV, Dudu baya ameongea mengi, amezungumzia uadui mkubwa uliopo kwenye mziki, yeye mwenyewe akiwa ni mhanga wa fitina hzo, pia amewasamehe maadui zake lakn akitoa tahadhar isiwe sababu ya kumsingizia la sivyo atalala nao mbele.
Ameenda mbali zaid na kusema anachukia ushoga na hvyo ataendelea kukemea ushoga kadr mda utakavyoruhusu kufanya hvyo, Dudu baya pia ametoa tahadhar Kwa harmonize , kuwa kama amerubuniwa na watu bas ajiandae kuangukia pua, huku akitoa mifano ya wasanii waliorubuniwa kama aslay, rich mavoko n.k...
Na pia ametoa baraka Kwa harmonize endapo ametoka Wasafi Kwa nia njema, na hvyo kumtakia mafanikio mema, amemalizia Kwa kusema yeye sa hv ni kiumbe kipya akiongozwa na mwenyezi Mungu huku akitua mzigo mzito wa chuki Kwa maadui zake....
Cheki video hapa:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK