FC Barcelona Wametia Nia Sasa Wanawashawishi Coutinho na Rakitic Wampate Neymar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

FC Barcelona wametia nia sasa wanawashawishi Coutinho na Rakitic wampate Neymar
Club ya FC Barcelona ya Hispania tayari imeripotiwa kuwa imeanza mazungumzo rasmi na club ya Paris Germain ya Ufaransa kwa ajili ya kumrudisha Neymar katika himaya ya Nou Camp.

Mtandao wa ESP umeripoti kuwa Barcelona wametenga dau la euro milioni 100 pamoja na kuwashawishi Philippe Coutinho na Ivan Rakitic wakubali kujiunga na PSG kama sehemu ya usajili wa Neymar.

Kama utakuwa unakumbuka vizuri Neymar aliwahi kuichezea FC Barcelona kwa misimu minne (2013-2017) kabla ya kushinikiza kuhama timu hiyo na kwenda kujiunga na PSG na sasa yupo mbioni kurudi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad