AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtandao wa ESP umeripoti kuwa Barcelona wametenga dau la euro milioni 100 pamoja na kuwashawishi Philippe Coutinho na Ivan Rakitic wakubali kujiunga na PSG kama sehemu ya usajili wa Neymar.
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Neymar aliwahi kuichezea FC Barcelona kwa misimu minne (2013-2017) kabla ya kushinikiza kuhama timu hiyo na kwenda kujiunga na PSG na sasa yupo mbioni kurudi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK