AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Juzi Jumatano baada ya Yanga kufungwa na Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, baadhi ya mashabiki wa timu hiyo walisikika wakilalama kuwa Sadney haitendei haki jezi hiyo ambayo ina historia na rekodi ya pekee ndani ya Yanga.
Hali hiyo ilikuja baada ya mashabiki hao kushindwa kuvutiwa na uwezo wa Sadney ambaye amekuwa akiuonyesha uwanjani tangu alipojiunga na timu hiyo akitokea Namibia huku akitajwa kama mrithi wa Tambwe katika kikosi hicho.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK