Kabendera Apandishwa Kizimbani, Hakimu Apata Udhuru

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kabendera apandishwa kizimbani, Hakimu apata udhuru
Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick kabendera imeahirishwa hadi Septemba 12 mwaka huu itakapotajwa tena.

Kesi hiyo imetajwa mbele ya Hakimu Janeth Mtega baada ya Hakimu Rwizile kupata dharura na kutoweza kufika mahakamani.

Aidha upande wa serikali umedai upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kuomba wapewe muda zaidi ili kukamilisha upelelezi.

Hata hivyo Wakili wa utetezi kutoka Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania( THRDC), Jebra kambole, ameomba mapendekezo mawili, upande wa serikali kuongeza nguvu Katika upelelezi Kwani mshtakiwa hadi sasa hana dhamana.

Kabendera anashitakiwa kwa Makosa matatu ya Kujihusisha na genge la uhalifu, kukwepa kulipa kodi na utakatishaji fedha
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad