AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hillary Innocent Seguya Taylor anayesoma shahada ya uzamili katika Chuo Kikuu cha Harvard amefungua kesi hiyo akiwashtaki, Rais Yoweri Museveni, Msemaji wa Serikali, Ofwono Opondo na Mkuu wa Kitengo cha Siasa ndani ya Idara ya Polisi, Asan Kaingye
Kijana huyo amefungua shauri hilo kupitia kwa Wakili wake Male Mabirizi kwa sababu yeye hayupo nchini Uganda kwa sasa, akilalamika kuzuiwa kupata taarifa
Anasema kuwa alizuiwa kuzitembelea akaunti hizo tatu kuanzia Julai, 20, 30 na Agosti 8 na kitendo ambacho kimesababishia ashindwe kutoa maoni yake kuhusu taarifa mbalimbali za masuala ya kiserikali wanazowekwa kupitia akaunti zao
Kupitia kwa wakili wake amewasilisha ushahidi wa Tweets 27 ambazo Rais Museveni aliziweka akitoa taarifa kuhusu utendaji wa Serikali ambazo yeye hazikumfikia
Kesi hii imefunguliwa kupitia Mahakama Kuu ya Uganda iliyopo Jijini Kampala
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK