AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba, Laudit Mavugo, ametwaa tuzo ya ufungaji bora nchini Zambia.
Mavugo ambaye anakipiga na Napsa Stars hivi sasa ya nchini humo, ameisaidia timu hiyo kupata jumla ya mabao 10.
Straka huyo aliyekuwa hana bahati alipojiunga na Simba misimu kadhaa iliypita, amekuwa mchezaji tegemeo kunako timu yake.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK