Mbwana Samatta Apangiwa Liverpool UEFA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MSHAMBULIAJI Mtanzania, Mbwana Samatta anayechezea Genk atakuwa na nafasi ya kucheza dhidi ya Liverpool ya England katika Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ratiba ya michuano hiyo kupangwa jana jioni kwa msimu wa 2019/20.

Katika tukio hilo la upangwaji makundi pia kulitolewa tuzo za michuano hiyo kutokana na ligi ya msimu uliopita. Tuzo zilikuwa hivi: Kipa Bora ni Alisson wa Liverpool, Beki Bora ni Virgil van Dijk (Liverpool), Kiungo Bora ni Frenkie de Jong (Barcelona), Mshambuliaji Bora ni Lionel Messi (Barcelona) na Mchezaji Bora wa Ulaya ni Virgil van Dijk.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad