AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MAMBO mazuri! Kama Staa wa filamu za Kibongo, Yusuf Mlela naye kwa sasa analindwa na baunsa ambapo anataja sababu za kufanya hivyo.Akistorisha na Shusha Pumzi, Mlela alisema kwa sasa ameamua kuweka ulinzi ambapo anaongozana na baunsa kila anapokwenda kwa kuwa maisha yake yamebadilika baada ya fedha kumtembelea.
“Mimi ni staa mkubwa sana hapa Bongo na hata nje ya nchi hivyo ni lazima niwe na baunsa, hata mastaa wa nje wanafanya hivi, isitoshe kwa sasa fedha imenitembelea, tofauti na zamani, namlipa mshahara wa shilingi laki tano mpaka milioni moja kwa mwezi, inategemeana na tumefanya kazi kwa kiasi gani,” alisema Mlela.
Mlela ameongeza orodha ya mastaa ambao wanaolindwa na mabaunsa kama Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Irene Uwoya, Jacqueline Wolper na Lungi Maulanga.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK