AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lyyn aliyajibu hayo alipobananishwa kati na Mikito Nusunusu pande za Mlimani City jijini Dar ambapo alisema amekuwa akisikia na kuona mitandaoni akiandamwa na maneno ya watu ambao hawajui ukweli kwani kwao wengi ni weupe kama alivyo.
“Unajua nachoka na haya maneno ya watu, yaani kila siku ni mimi tu, kwa nini jamani? Ukweli ni kwamba nilivyo sijawahi kutumia hayo madawa. Halafu vitu vingine rahisi sana kama wanaamini natumia nimekuwa hivi basi na wao waingie madukani wanunue wawe kama mimi,” alisema Lyyn.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK