AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dkt. Abbasi ameeleza kuwa Mkuu wa Mkoa na timu ya uokoaji wanaendelea kukabiliana na hali katika eneo la tukio.
"Tumepokea kwa masikitiko taarifa kuhusu ajali ya lori la mafuta, Morogoro, iliyosababisha moto na kuunguza watu kadhaa. Mkuu wa Mkoa na timu za uokoaji wanaendelea kukabiliana na hali katika eneo la tukio. Taarifa kamili kuhusu idadi ya vifo na majeruhi itatolewa badae," ameandika Dkt. Abbasi kwenye ukurasa wa Twitter.
Ameongeza kwa kusema kuwa "Tunaendelea kutoa wito kwa wananchi kukaa mbali na eneo la ajali hasa yanapohusika magari au vyombo vingine vya usafiri vilivyobeba vitu vinavyoweza kuripuka kama mafuta
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK