Msemaji wa Serikali: Tumepokea kwa Masikitiko Taarifa ya Vifo vya Watu Vilivyotokana na ajali ya roli la mafuta Huko Morogoro

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassani Abbasi amesema wamepokea kwa masikito taarifa kuhusu ajali ya roli la mafuta ililotokea Morogoro.

Dkt. Abbasi ameeleza kuwa Mkuu wa Mkoa na timu ya uokoaji wanaendelea kukabiliana na hali katika eneo la tukio.

"Tumepokea kwa masikitiko taarifa kuhusu ajali ya lori la mafuta,  Morogoro, iliyosababisha moto na kuunguza watu kadhaa. Mkuu wa Mkoa na timu za uokoaji wanaendelea kukabiliana na  hali katika eneo la tukio. Taarifa kamili kuhusu idadi ya vifo na majeruhi itatolewa badae," ameandika Dkt. Abbasi kwenye ukurasa wa Twitter.


Ameongeza kwa kusema kuwa "Tunaendelea kutoa wito kwa wananchi kukaa mbali na eneo la ajali hasa yanapohusika magari au vyombo vingine vya usafiri vilivyobeba vitu vinavyoweza kuripuka kama mafuta
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad