AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtoto huyo aliyekutwa na ugonjwa huo alipopimwa baada ya kuonesha dalili katika mpaka uliopo Wilayani Kasese akiwa anatokea Congo, amefariki akitibiwa
Maafisa wanasema, amefariki huku mazungumzo ya kumrudisha Congo yakiendelea na huku Mama yake aliyewasili naye Uganda akiwa ametengwa akisubiri kurudishwa Congo
Waziri wa Afya Uganda amesema, mtoto huyo aligundulika jana jioni na timu ya wataalamu wa Ebola ilitumwa kwenda Kasese kusaidia hali hiyo
Mapema mwezi huu, Uganda ilisema imeanza kujaribu chanjo ya Ebola ambayo inaweza kwenda kutumika katika maeneo yaliyo mpakani karibu na Congo
Japo ugonjwa huo bado haujatangazwa kufika rasmi Uganda, ila mnamo mwezi Juni 2019 Watu watatu wa familia moja walifariki kwa ugonjwa huo baada ya kutoka Congo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK