Mwalimu Mkuu atuhumiwa kubaka na kumpa mimba mwanafunzi wa darasa la tano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nyantore, iliyopo Kigoma, Jason Rwekaza (Katikati) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma na kusomewa mashitaka saba.

Sita kati ya mashtaka hayo ni ubakaji na moja kumtia mimba mwanafunzi wake wa darasa la tano.

Mtuhumiwa huyo amekana mashitaka hayo na ametoka kwa dhamana hadi kesi yake itakaposomwa Agosti 19 2019.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad