AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanadada Nandy anayefanya vizuri hivi sasa ametoa sababu za kutoonekana kwenye Tamasha la Wasafi festival japo kuwa yeye ni moja ya Wasanii wanaofanya vizuri kwa hivi sasa.
Kwenye moja ya interview yake Nandy aliulizwa, Nandy sasa hivi unafanya vizuri sana tulitegemea kukuona kwenye tamashal la Wasafi festival lakini kimya tatizo nini?
"Mbona wao hawapo ujaniuliza kwanini hawapo kwenye Nandy Festival lakini nahisi ni mambo ya ratiba hayo mengine ni inshu za Management" alijibu Nandy
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK