Mwanamuziki Nandy Amkacha DIAMOND na Wasafi Festival Yake...Mwenyewe Afunguka Sababu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanadada Nandy anayefanya vizuri hivi sasa ametoa sababu za kutoonekana kwenye Tamasha la Wasafi festival japo kuwa yeye ni moja ya Wasanii wanaofanya vizuri kwa hivi sasa.

Kwenye moja ya interview yake Nandy aliulizwa, Nandy sasa hivi unafanya vizuri sana tulitegemea kukuona kwenye tamashal la Wasafi festival lakini kimya tatizo nini?

"Mbona wao hawapo ujaniuliza kwanini hawapo kwenye Nandy Festival lakini nahisi ni mambo ya ratiba hayo mengine ni inshu za Management" alijibu Nandy
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad