Prof. Jay awavaa COSOTA “acheni uongo sijalipwa Milioni mia, amepewa P Funk”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge wa Mikumi ambaye pia ni Msanii wa Bongofleva Prof. Jay amewafungukia COSOTA katika ukurasa wake wa Twitter akiwataka kuweka kumbukumbu zao sawa juu ya yeye kulipwa Milioni 100.

“COSOTA mmekuja kwenye kikao cha Kamati ya Bunge na kusema uwongo kwamba mmenisimamia mimi PROFESSOR JAY nikalipwa sh. Milioni 100 kutoka UGANDA ukweli ni kwamba sijalipwa hata cent TANO na PESA Zote amelipwa P FUNK MAJANI chini ya usimamizi wenu wekeni vizuri hiyo kumbukumbu yenu” Prof. Jay
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad