AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila watakuwa viongozi vijana wa kwanza kurudi shule kusoma somo la uongozi.
Katibu Mkuu huyo wa Chama cha Mapinduzi, (CCM) , Dkt Bashiru Ally amesema RC Dar es Salaam, Paul Makonda na RC Mbeya, Albert Chalamila wanatakiwa kurudi shule kusoma "somo la uongozi.
Dkt Bashiru amesema wakuu hao wa mikoa watakuwa viongozi wa kwanza vijana wa CCM kurudi shule kusoma, ikiwa ni mkakati wa chama hicho kutoa elimu kwa viongozi vijana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK