Putin Aiomba Marekani Kuanzisha Mazungumzo ya Nyuklia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Putin Aiomba Marekani Kuanzisha Mazungumzo ya Nyuklia
Rais Vladimir Putin wa Urusi hii leo ameiomba Marekani kuanza mazungumzo mapya baada ya kuvunjika kwa makubalino ya nyuklia yaliyofikiwa baada ya kumalizika kwa Vita Baridi kati ya mataifa hayo yenye nguvu duniani. 

Putin amenukuliwa kwenye taarifa yake akisema ili kuzuia machafuko yasiyo na msingi, mipaka na sheria, Marekani inahitaji kwa mara nyingine kupima uwezekano wa athari mbaya na kuanza mazungumzo bila ya masharti yoyote, na Urusi iko tayari kwa hilo. 

Urusi inailaumu Marekani kwa kuuvunja mkataba wa nyuklia wa INF uliofikiwa mwaka 1987 baada ya wakuu wa nchi wakati huo - Ronald Reagan wa Marekani na Mikhail Gorbachev wa Muungano wa Kisovieti - kutiliana saini. Putin ameonya iwapo Urusi itapata taarifa za Marekani kutengeneza makombora mapya, nayo pia italazimika kuanza kutengeneza kikamilifu makombora kama hayo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad