Rais Trump na Mkewe kuzuru Poland na Denmark

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ikulu ya Marekani ilitangaza hapo jana Rais wa nchi hiyo, Donald Trump na mkewe Melania watatembelea Poland na Denmark kutoka Agosti 31 hadi Septemba 3.

Wanandoa watahudhuria sherehe za ukumbusho na kutembelea maeneo ya ukumbusho huko Warsaw mnamo Septemba Mosi kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 80 ya mwanzo wa Vita vya pili vya dunia. .

Pia Rais Trump atashiriki katika mfululizo wa mikutano ya nchi hizo mbili huko Denmark kwa mwaliko wa Malkia wa Kideni, Margrethe II.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad