AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KUACHWA au kuacha kusikie kwa wengine, usiombe yakukute! Hayo ni maneno ya mwanamuziki wa kike wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ ambaye juzikati zilisambaa tetesi kuwa ameachana na mzazi mwenzake, Kusah. Akizungumza na Gazeti la Ijumaa, Ruby alisema ameamini kuna watu wako macho kuona mwenzao anaachana na mpenzi wake ili wamcheke na kumuanika kwenye mitandao ya kijamii.
“Watu wanadhani kuachana ni rahisirahisi? Kuna watu wako macho kufurahia kile watakachosikia ili wakuanike kwenye mitandao, mimi na mzazi mwenzangu bado tupo sana, watatumbua macho hadi wachoke na kwa taarifa yao tunaongeza mtoto wa pili,” alisema Ruby
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK