AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na eNewz, T Touch amesema kuwa sio jambo la kushangaza kuona suala hilo kwani watu wengi wanasafiri nje na hawazungumzwi, huku akisisitiza kuwa amekwenda kufanya maisha yake.
"Mbona kawaida hiyo?, watu wengi tu wanasafiri nje kila siku. Young Dee ni mtoto wa kiume amekwenda kutafuta maisha yake mwenyewe na sio lazima afikie kwa mtu ambaye mtamfahamu", amesema T Touch.
"Hakuna mama ambaye anamlea Young Dee, ni 'husling' zake tu za maisha watu wasilazimishe", ameongeza.
Young Dee ambaye yupo chini ya 'production' ya Mr. T Touch, hivi sasa yupo nchini Marekani takribani mwezi mmoja, ambapo amekuwa akionekana mtandaoni mara kadhaa na mwanamke anayeonekana kumzidi mwili na umri.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK