AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hati hizo za makubaliano zimesainiwa Harare Zimbabwe na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi, kwa upande wa Tanzania na Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara ya Kimataifa wa Zimbabwe Luten Jenerali Mstaafu Sibusiso Moyo.
Akizungumza mara baada ya kusaini hati hizo za makubaliano Waziri Kabudi amesema mkutano huo unafanyika kwa mara ya kwanza baada ya miaka 21,. na kuongeza kuwa uhusiano baina ya Tanzania na Zimbabwe ulianza kabla ya ukoloni.
Makubaliano hayo yameafikiwa katika nyanja za ushirikiano wa biashara, uchumi na uwekezaji, siasa na diplomasia, utalii, uwezeshaji wa wanawake na masuala ya jinsia pamoja na masuala.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kabudi chapa kazi mdodo wa kukaya.
ReplyDeletehao wwote tulikuwa naO Dodoma.
Siui Chambakare yuko hai.
Muulizie Jiraniyetu mwana ukombozi ndio alikuwa mwana sheria mkuu hapo.
ushukuru kwa SADC wakija ni wanakuja Nyumbani Dodoma ni kwa na sisindugu zao tutajisikia Faraja sana kukumbushana na kucheka kwa Furaha baada ya kupoteana kwa muda Mrefu.
Tunajisikia Fahari kwa Jemeari wetu JPJM kushika hatamu ya kuongoza nchi hizi katika wakati huu mwafakaa na Mataifa tui yaunda hapa nyumbani.
Zwalili chilo cha nala nkuita kugona
mlamsaje Jemedali ..Sandenji muwaha.
HAPA KAZI TU PERFORMANCE DRIVEN.