AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na kamera za eNewz, Chid Benz amesema kuwa kipigo alichokipata TID ni zawadi ambayo ameilipa kwa Mungu na kwamba tukio hilo sio la maajabu.
"TID ajue tu kuwa amelipia kwa Mungu tukio lile wala hakuna kitu kingine, ni jambo la kawaida mtu yoyote linaweza kumtokea. Mimi mwenyewe nimeshafanya matukio kibao mpaka sasa, nimekamatwa jangwani na hivi na vile lakini bado nipo", amesema Chid.
"Sisi tayari tumeshabandika majina yetu, TID hata akipigwa mara 80 lakini tayari jina lake limebandikwa, mtu akisiki 'Nyota Yangu' tayari anajua ni TID ila tunachotofautiana ni kwamba fulani ana hela na fulani kaishiwa", ameongeza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK