AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga story na Mwandishi wa Habari H.baba amesema "Mke wa mtu akiachwa lazima aoneshe taraka sasa nani kashamuona mke wangu akiwa na taraka watu waache kuzusha vitu wasivyovijua bhana hayo ni makosa"
Aidha mkongwe huyo amefunguka kuwa yeye hana team kati ya Diamond na Alikiba ila anampenda sana Diamond.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK