AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bado ni vichwa vya habari kuhusu simanzi na huzuni zinazoendelea kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva baada ya kufariki kwa msanii Mbalamwezi anaetokea katika kundi la The Mafik.
Sasa hapa tumempata msanii kutoka kundi la Makomando ‘Muki’ ambae kupitia Ayo TV amefunguka kuhusu kifo msanii mwenzake ‘Mbalamwezi’ na kuwaasa vijana kutulia kuacha tamaa kuwa na uvumilivu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK