VIDEO: Muki wa Makomanda Kafunguka Kifo cha Mbalamwezi ‘Vijana Tuache Tamaa’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Bado ni vichwa vya habari kuhusu simanzi na huzuni zinazoendelea kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva baada ya kufariki kwa msanii Mbalamwezi anaetokea katika kundi la The Mafik.

Sasa hapa tumempata msanii kutoka kundi la Makomando ‘Muki’ ambae kupitia Ayo TV amefunguka kuhusu kifo msanii mwenzake ‘Mbalamwezi’ na kuwaasa vijana kutulia kuacha tamaa kuwa na uvumilivu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad