AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni wamama wawili sasa nimeona wamebadilika sana hapa kazini. Kila mtu kwa nafasi yake analalamika kuwa sasa ana hard time mahitaji ya kimwili hapati na mumewe yupo dodoma.
Ushawishi wao ni mkubwa. Huyu mmoja amefikia hatua kabisa ananambia " leo am so h.orny yaani ukinigusa tu wazungu haoo" akija ofisini kwangu ananitega sana kila wakati anataka tuzungumzie mambo ya mapenzi penzi tu
Na jimama lingine nalo linanambia linekuwa likiniangalia sana na kuona nipo serious so linapenda sana tupeane kampani hasa kipind hiki ni mpweke mumewe kaenda dodoma.
Ananambia anajua nimeoa name ndo maana anataka atulie nami tukapime tuwe tunakamuana tu kishkaji ye hataki hata shilingi yangu moja.
Nashauri waume mliohamia dodoma chukueni wake zenu, Wanatusumbua sana huku makazini na mitaani. Na wao wanaamini nanyi dodoma mnafanya hivyo hivyo.
By Gudume
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Gudume, Hawa ni wakware...!!!
ReplyDeleteUnajua Dawa yao..?