AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri mkuu wa Italia Giuseppe Conte amesema atajiuzulu baadaye leo kufuatia uamuzi wa chama tawala cha Ligi (League party ) kuwasilisha hoja ya kutokuwa na imani katika muungano huo unaounda serikali.
Italian Deputy Prime Minister and leader of the League party Matteo Salvini gestures while speaking at the upper house in Rome's Palazzo Madama on August 13.
Akilihutubia bunge kuhusiana na mzozo huo wa kisiasa uliozushwa na chama cha Ligi, Conte amesema atakabidhi barua yake ya kujiuzulu kwa Rais Sergio Mattarella, ambae ataamua iwapo anataka kuitisha uchaguzi wa mapema ama kujaribu kuunda muungano mpya wa serikali.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Deutsche Welle, Akiwa mkuu wa nchi Matarrella anaweza kumuomba Conte kuendelea na wadhifa huo na kujaribu kutafuta mbadala wa wingi katika bunge, ama kukubali kujiuzulu kwake na kuangalia iwapo baadhi ya viongozi wengine wanaweza kuunda muungano mbadala wa uongozi.
Ikishindikana, Mattarella anaweza kulivunja bunge, na kuiweka nchi hiyo katika uchaguzi wa mapema mwezi Oktoba.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK