AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ameeleza hilo kifuatia taarifa aliyoichapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram kwa kuandika 'Kidogo na Kingi Mungu Ndie hutoa na yeye Ndie Kamuumba Masikini na Tajiri...!!!! Hata hapa Nilipo ni kw aneema zake Sitokula na Kusaza ikiwa kuna wengine Kula Yao Ni Yashida Nitagawana Nao,".
Huu utakua uwekezaji wa kwanza nje ya muziki ambao Harmonize atakuwa ameufanya toka Tanzania imfahamu na ni wasanii wachache waliofanikisha kufanya uwekezaji nje ya Muziki wao wanaoufanya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK