AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la wanamapinduzi wa Iran limeonya kuwa litashambulia kundi lolote litakaloleta uchokozi dhidi ya nchi hiyo.
Taharuki katika eneo hilo la ghuba imeongezeka baada ya mashambulizi dhidi ya viwanda vya mafuta nchini Saudi Arabia mwishoni mwa wiki iliyopita na Marekani na Saudia Arabia zimeilaumu Iran kwa mashambulizi hayo.Iran imekanusha kuhusika.
Katika mkutano na wanahabari ulioonyeshwa kupitia kituo cha habari cha runinga nchini humo, mkuu wa jeshi hilo meja jenerali Hossein Salami ameonya kuwa kiwango chochote cha uchokozi hakitavumiliwa na kwamba wanakadiria adhabu na wataendelea hadi kuharibiwa kabisa kwa kundi lolote la uchokozi.
Salami amesema kuwa Iran haitaki kuanzisha vita lakini akasisistiza kuwa vikosi vyake vimefanya mazoezi ya vita na viko tayari kwa hali yoyote ile.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK