AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo, kipa wa timu hiyo, Juma Kaseja ameliambia Championi Jumatano kuwa kutokana na maandalizi waliyoyafanya anaamini kabisa wataibuka na ushindi katika mechi hiyo.
Alisema licha ya soka la Burundi kutokuwa na tofauti kubwa na la hapa nchini lakini anaamini watafanya vizuri katika mchezo huo utakaowaweka katika mazingira mazuri ya kutinga hatua ya makundi ya kutafuta tiketi ya kufuzu kwa fainali hizo.
“Maandalizi yalikuwa mazuri, wachezaji wote tupo salama, kilichobaki ni kucheza dakika
tisini kusaka ushindi.
“Mchezo utakuwa mgumu kwani zinakutana timu mbili ambazo tunafahamiana wachezaji kwa sababu wapo Warundi wanaocheza Tanzania, hakuna jinsi, tutapambana kuhakikisha tunashinda mchezo huu wa kwanza, kabla ya kumaliza kazi nyumbani,” alisema Kaseja.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK