Koletha Aeleza Alivyosahau Gari Baa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

WAKATI wengi wakisahau vitu kama simu, funguo na vinginevyo kwa staa wa filamu za Kibongo, Koletha Raymond ametoa kali baada ya kueleza jinsi alivyosahau gari baa.  Koletha aliiambia Za Motomoto ya Risasi, kuwa siku hiyo alikwenda baa kunywa pombe akiwa na gari lake na ulipofika wakati wa kuondoka akasahau kama alikuja nalo.

“Sina hamu na pombe inaweza kukusahaulisha kila kitu. Siku hiyo nilisahau gari ikabidi nitafute la kukodi hadi nyumbani, asubuhi naamka ndiyo nikakumbuka nashukuru palikuwa salama,” alisema Koletha.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad