Mbunge wa Rangwe Ataka Sheria Kuwabana Wanaotoa Ushuzi Ndani ya Ndege

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge wa jimbo la Rangwe nchini Kenya, Dkt. Lilian Gogo anataka itungwe sheria ya kudhibiti watu wanaotoa ushuzi na kuchafua hewa ndani ya ndege.

Akichangia ndani ya Bunge la Kenya, mbunge huyo ameeleza kuwa harufu mbaya ya ushuzi ndani ya chombo hicho husababisha usumbufu mkubwa kwa abiria na inaweza kuwa chanzo cha kuhatarisha usalama.

Mchango wa mbunge huyo ulizua vicheko na kelele ya muda ndani ya nyumba hiyo ya wawakilishi wa wananchi wa Jamhuri ya Kenya.

“Ushuzi ni chanzo cha usumbufu kwa abiria ndani ya ndege japo hupuuzwa, na ni moja kati ya mambo yanayoweza kuhatarisha usalama, kuna abiria ambao hutoa harufu mbaya na kali baada ya kujamba,” Gogo alisema.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad