AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa jimbo la Rangwe nchini Kenya, Dkt. Lilian Gogo anataka itungwe sheria ya kudhibiti watu wanaotoa ushuzi na kuchafua hewa ndani ya ndege.
Akichangia ndani ya Bunge la Kenya, mbunge huyo ameeleza kuwa harufu mbaya ya ushuzi ndani ya chombo hicho husababisha usumbufu mkubwa kwa abiria na inaweza kuwa chanzo cha kuhatarisha usalama.
Mchango wa mbunge huyo ulizua vicheko na kelele ya muda ndani ya nyumba hiyo ya wawakilishi wa wananchi wa Jamhuri ya Kenya.
“Ushuzi ni chanzo cha usumbufu kwa abiria ndani ya ndege japo hupuuzwa, na ni moja kati ya mambo yanayoweza kuhatarisha usalama, kuna abiria ambao hutoa harufu mbaya na kali baada ya kujamba,” Gogo alisema.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK