AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtuhumiwa alikamatwa Septemba 20, 2019 saa 15:30 alasiri katika msako uliofanyika huko Mtaa wa Ngosi, Kata ya Mwakibete, Tarafa ya Iyunga, Jiji la Mbeya.
Pia mtuhumiwa huyo alikutwa akiwa na vifaa vya kuvunjia ambavyo ni panga, bisibisi pamoja na tindo. Aidha mtuhumiwa baada ya kupekuliwa nyumbani kwake alikutwa na mali mbalimbali zidhaniwazo kuwa za wizi ambazo ni
1.“TV” 2 aina ya “Samsung” nchi 32, “Aborder” nchi 32,
2.“System Case” mbili aina ya “Dell na Hp”,
3.“Keyboard” 1 aina ya “Hp”,
4.“Receiver” tatu za vinga’muzi vya “Dstv”, Azam na “Startime”,
5.Speaker” mbili za “Seapiano” na “Topsonise”,
6.Simu za Mkononi 9 kati yake “Smartphone” tatu na sita za kawaida 6,
“External” 4,
7.Kamera moja aina ya “Ricoh”,
8.“Remote control” 14,
9.“Switch ya Internet” 1,
10.“Dryer” mbili moja ya mkono ndogo na kubwa,
11.Jiko la umeme 1,
12.Amplifier na Equalizer 1 aina ya metal,
13.Twitter 7,
14.mouse 1,
15.Rasta bunda 7 za kusukia nywele bandia,
16.Uzi bunda mbili za kushonea,
17.Mashine ya Blenda nyeupe ,
18.Saa 3,
19.Deki 1 aina ya LG,
20.Mitungi 2 ya Gesi aina ya Oryx,
21.Jiko la Gesi 1 la plate mbili.
22.Upelelezi unaendelea.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK