Polepole amzungumzia Cyprian Musiba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema kuwa Mwanaharakati Huru, Cyprian Musiba hatumwi na Chama hicho na kama wanachakuzungumza yeye ndio mtoa kauli.

Polepole amesema kuwa Watanzania wanaotoa kauli kila pahala waendelee kutoa kauli maadam hawavunji sheria za nchi.

"Musiba hatumwi na Chama cha Mapinduzi na kama chama kinataka kutoa kauli mtoa kauli ni mimi hapa, lakini nataka nikwambie kuwa wapo Watanzania wanaotoa kauli kila pahala waendelee kutoa kauli maadam hawavunji sheria za nchi na wahamasisha waendelee kutoa kauli mbalimbali maadam hawavunji sheria za nchi hiyo ndio rai yangu," alisema Polepole.

Aidha Polepole amesema Chama hicho kinaongozwa na Katiba, Kanuni na Taratibu zilizowekwa, sio dhambi kiongozi yoyote kufanya ziara ila utaratibu wa ndani ya Chama ufuatwe
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad