Madam Rita ajivunia miaka 10 ya BSS

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Benchmark Productions na Jaji Mkuu wa shindano la kusaka vipaji Bongo Star Search (BSS), Rita Paulsen ana furaha na anajivunia kufanikiwa kuvumbua vipaji vya kuimba vya vijana mbalimbali nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari leo , wakati wakitangaza msimu mpya wa shindano hilo litakaloanzia mkoani Arusha, amesema BSS imefanikiwa kuwapa nafasi vijana hao wa kitanzania kuendeleza maisha ya kimuziki na wengine kufanikiwa nje ya muziki pia.

“Kwa sababu ni ‘anniversary’ ya miaka 10 ya Bongo Star Search, najivunia vipaji ambavyo tumevileta mbele ya Watanzania na kufanikiwa kueneleza vipaji vyao nje ya muziki."

“Kuhusu ujio wa msimu wa 10 huku akitaja ongezeko la mikoa ambayo itafikiwa na usaili wa shindano hilo, habari njema sana kwa Watanzania ni kwamba tumeongeza idadi ya mikoa ambayo itafikiwa na usaili wa BSS mwaka huu ni Arusha, Mwanza, Mbeya, Dodoma na Dar es Salaam,” amesema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad