Manara akutana na Boss mpya Simba, awaumbua wabaya wake “Mi ndio msemaji rasmi”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kumekuwa na maneno mengi kupitia mitandao ya kijamii juu ya Afisa Habari wa Klabu Simba Haji Manara kuwa ataondolewa katika nafasi hiyo, leo Manara ameandika “Asanteni Sana Wanasimba wote hususan Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti wetu Mohammed Dewji”

“Lakini kubwa kwa CEO wetu mpya Mr Senzo kwa kuendelea kuniamini kufanya kazi ktk Klabu hii kama Msemaji wao rasmi,Insha’Allah ntaendelea kufanya kazi hapa kwa spirit ile ile” Manara
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad