AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchekeshaji mkubwa duniani Kevin Hart ameripotiwa kupata ajali ya gari alipokuwa katika mizunguko yake nchini Marekani.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari nchini Marekani vimeripoti kuwa Kevin alikuwa akijaribu kukwepana na gari jingine na hatimaye gari lake kuacha njia na kuangukia katika eneo la karibu na Maliba Hills California nchini Marekani. Hali ya kiafya ya mchekeshaji huyo ni nzuri na bado anaendelea kupatiwa matibabu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK