AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchungaji mmoja nchini Uganda amejikuta akizamishiwa msumari kwa nyundo mpaka kutoboka mdomo baada ya kupita mitaani huku akihubiri injili na kuimba wimbo wa mapambio unaomsifia Rais Museveni wa Uganda.
Mchungaji huyo alipiga kelele za kuomba asaidiwe baada ya kuvamiwa na vijana wakimhoji juu ya uhusiano wake na mtu anayewatesa ambaye ni Museveni.
Alijikuta yupo chini huku mdomo ukiwa umetapakaa damu na msumari ukisalia mdomoni.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK