MREBO Kidoa Ahofia Pete Kumtia Nuksi!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MODO na mwigizaji wa Bongo Muvi, Asha Salum ‘Kidoa’ amesema hataki shobo za wadada wa mjini wanaojivalisha pete ya uchumba na kukaa kidoleni miaka 10 kwani anahofia kuwa itamtia nuksi.  Katika mahojiano maalum na Gazeti la Ijumaa, Kidoa alisema anaamini kama mwanaume anampenda mtu kamwe hawezi kumzuga na kumvalisha pete kidoleni kisha kukaa nayo zaidi ya mwaka, hiyo ni kujitia nuksi, jambo ambalo hapendi litokee kwake.

“Jamani mambo ya kutiana nuksi sitaki, naamini kama mwanaume ananipenda kweli, hawezi kuchukua muda mrefu katika uchumba bila kufunga ndoa, hiyo ya kuvaa pete ya uchumba kwa miaka kumi kisha unaachwa solemba, sitaki kabisa, bora nichine kwa mama yangu tu,” alisema Kidoa.

Stori: Imelda Mtema
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad