Nick Minaj Rapper wa Tatu wa Kike Duniani Kuwahi Fikia Rekodi Hii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Nicki Minaj Ni Rapper wa Tatu Na Wa Kike Pekee Kwenye Top 16 Ya Rappers Waliowahi kuingiza ngoma nyingi Zaidi kwenye Chart za Billboard Hot 100. Nicki Minaj Amefikisha maingizo 104 Kwenye Chart hizo Kubwa za Muziki Duniani.
.
Top Three Yote Imechukuliwa na Young Money, Drake anaongoza na maingizo 204 Akifuatiwa na Lil Wayne ambaye amewahi Kuingiza ngoma mara 163, Mbele ya Nicki Minaj. Hii Ndio Orodha Yote, Drake (204), Lil Wayne (163), Nick Minaj (104), Jay Z (100) , Kanye West (96), Future (89), Eminem (75), Luda Cris (56), T.I (56), Travis Scott (56), Rick Ross (49), Kendrick Lamar (48), Meek Mill (47), T-PAIN (46), Big Sean (45) na J Cole (44).
TAZAMA WIMBO MPYA WA ROSA REE

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad