AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nicki Minaj Ni Rapper wa Tatu Na Wa Kike Pekee Kwenye Top 16 Ya Rappers Waliowahi kuingiza ngoma nyingi Zaidi kwenye Chart za Billboard Hot 100. Nicki Minaj Amefikisha maingizo 104 Kwenye Chart hizo Kubwa za Muziki Duniani.
.
Top Three Yote Imechukuliwa na Young Money, Drake anaongoza na maingizo 204 Akifuatiwa na Lil Wayne ambaye amewahi Kuingiza ngoma mara 163, Mbele ya Nicki Minaj. Hii Ndio Orodha Yote, Drake (204), Lil Wayne (163), Nick Minaj (104), Jay Z (100) , Kanye West (96), Future (89), Eminem (75), Luda Cris (56), T.I (56), Travis Scott (56), Rick Ross (49), Kendrick Lamar (48), Meek Mill (47), T-PAIN (46), Big Sean (45) na J Cole (44).
TAZAMA WIMBO MPYA WA ROSA REE
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK